Habari Kali
Loading...

ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Dustan Shekidele, Moro
SIKU chache baada ya gazeti hili kuripoti kuibiwa kwa mtoto lrene Daniel mwenye umri wa siku 34, mkazi wa Kilakala, mkoani hapa, habari njema ni kwamba mwizi wa mtoto huyo amenaswa laivu, Ijumaa Wikienda lina full stori.
Huyu ndio mama aliyeibiwa mtoto wake Mei 8 mwaka huu huko mkoani Morogoro.
Mtoto huyo aliibiwa kimafia Mei 8, mwaka huu wakati mama yake Martha Masawe akiwa kwenye foleni katika Kliniki ya Nunge mkoani hapa.
Baada ya habari hiyo kuchapishwa Mei 10, mwaka huu, wananchi wa Kitongoji cha Mikumi Wilaya ya Kilosa mkoani hapa walimtilia shaka mkazi mwenzao Jesca Patrick (23) ambaye ghafla alionekana akiwa na mtoto mchanga mara baada ya kutoka Morogoro mjini wakati hawakuwahi kumuona akiwa na ujauzito.
Huyu ndo mama anaedaiwa kuiba mtoto ambaye alifahamika kwa jina la jesca.
“Waliposoma habari ya kuibiwa mtoto gazetini halafu ghafla wakaona Jesca ana mtoto mchanga, wakamtilia shaka na kutoa taarifa polisi katika Kituo cha Polisi cha Mikumi, akakamatwa,” kisema chanzo chetu.
Mama aliyeibiwa mtoto akiwa na aliyedaiwa kuwa mwizi wa mtoto wake.
Mwanahabari wetu alifika kituoni hapo na kumshuhudia Jesca akiwa chini ya ulinzi wa polisi ambapo alipoulizwa kama ni kweli alimuiba mtoto huyo, alikiri kutenda kosa hilo na kuomba asamehewe.
”Siwezi kubisha ni kweli nilifanya jaribio la kumuiba mtoto huyo kwani nilifanya juhudi za kuzaa lakini bahati mbaya mpaka leo sijabahatika kupata mtoto hivyo naomba mnisamehe,” alisema Jesca ambaye ni mkazi wa Mikumi.
Kwa upande wake Martha, alikuwa na haya ya kusema:
“Kwa kweli nalishukuru sana gazeti hili, yaani nilitamani nife kwa kumkosa mwanangu. Pia nalishukuru jeshi la polisi kwa kufanikisha kumpata mtoto wangu akiwa hai na afya njema na kumtia mbaroni mtu aliyemuiba,nimefurahi sana,” alisema Martha.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top