Habari Kali
Loading...

KAJALA AJITOA UFAHAMU, AKATA MAUNO OVYO BAADA YA KULEWA POMBE!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Musa mateja CHIZIKA! Katika hali ambayo haikutarajiwa, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amewaacha watu midomo wazi kwa kukatika mauno hadharani.
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja akikata mauno.
Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni maeneo ya Twende Polepole, Mkoa wa Pwani kwenye sherehe ya kumkaribisha mtoto wa mwigizaji Aunt Ezekiel (Baby Shower) iliyohudhuriwa na watu wengi akiwemo Kajala.
Awali, mwanahabari wetu aliyekuwa akikusanya matukio eneo hilo alimshuhudia Kajala akipata ‘kilaji’ kisha akaitwa na mshereheshaji Maimartha Jesse na kupewa nafasi ya kucheza muziki ndipo alipoanza kuionesha tatuu yake iliyopo bajani kabla ya kuanza kukata mauno.
...akizidi kunengua.
Watu waliokuwepo ukumbini humo walipigwa na mshangao kwani hakuna aliyeamini staa kama huyo alikuwa mahiri wa kuzungusha nyonga.“Yaani ni balaa, sijui ni kuzidisha kilaji au ni vipi, mtoto wa kike kajitoa ufahamu kwelikweli, leo ndiyo amefunika watu wote hapa,” alisema mmoja wa waalikwa.
“Aunt Ezekiel kwa kushirikiana na marafiki zake, waliamua kufanya sherehe kwa lengo la kufurahi pamoja na kumpa mwigizaji huyo zawadi mbalimbali za mtoto wake mtarajiwa.
Mbali na Kajala, sherehe hiyo ilihudhuriwa na mastaa kadhaa akiwemo Husna Idd ‘Sajenti’ (mwigizaji), Nice Chande (muigizaji), Zamaradi Mketema (mtangazaji) na wengineo ambao nao walicheza muziki, kula na kunywa.
Shani Ramadhan na Chande Abdallah

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top