Habari Kali
Loading...

MASTAA WANASEMAJE KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO ?

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Na Hamida Hassan
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliipitisha sheria ya makosa ya mitandao kwa kutia saini.Ni sheria ambayo wengi hawajajua namna itakavyofanya kazi na huenda wengi wakaingia kwenye mtego.

Jaqueline Wolper.
Miongoni mwa watu watakaojikuta kwenye wakati mgumu kupitia sheria hii ni mastaa, tena hasa wa kike. Je, wao wanaizungumziaje sheria hiyo? Hebu wasikie hawa baadhi ya wasanii wa kike…
Jaqueline Wolper
Hii sheria sijaielewa, ila kwa kusikiasikia tu naiona kuwa ni nzuri, itatusaidia sisi wasanii na kutokomeza hayo ‘matimu’ maana tumechoka kutukanwa.

Maimartha Jesse
Nimeipenda, nimeielewa ndiyo vizuri tunakuwa na haki zetu kwani tumechoka hasa sisi wanawake. Mtu anakupiga picha mkiwa faragha kisha anazitupia mtandaoni, busara iko wapi? Ila kile kipengele cha kutumiwa picha naiomba serikali ikiangalie upya, mkosaji abaki kuwa mkosaji tu.

Aunt Lulu.
‘Aunt Lulu’
Sijui chochote, natukana tu na hakuna atakayenifanya lolote. Watu unakuta wanakuchokoza hata hujafanya lolote baya, siwezi kukaa kimya kwa kweli.

Wastara Juma
Dah! Mimi naona imekuja kutubana sisi wasanii, naiomba serikali iwafuatilie na wale wasiokuwa na majina ambao wanapenda kutukana watu wasiokuwa na hatia.

Miriam Jolwa ‘Kabula’
Nimeifurahia sana kwani kuna watu wananyanyaswa sana huko mitandaoni. Mimi naona kwa sheria hiyo itaongeza adabu mtandaoni kwani kila mtu ana haki ya kutumia mtandao na akawa happy bila matusi.

Rose Ndauka.
Rose Ndauka  
Kwa kweli sijaijua kiundani ila nina imani itasaidia kuwabana wale ambao wanatumia mitandao ndivyo sivyo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top