Shika adabu yako! Njemba
mmoja ambaye jina halikufahamika ameshikishwa adabu na wananchi wenye
hasira kali baada ya kutembezewa kichapo ‘hevi’ alipokwapua simu ya
abiria mwenzake.
Ishu hiyo ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mtaa wa Kongo-Kariakoo
jijini Dar ndani ya basi la UDA ambapo kijana huyo alidaiwa kukwapua
simu hiyo.Akizungumza na Ijumaa Wikienda, shuhuda wa tukio hilo alisema: “Kiukweli jamaa alipigwa sana, kama siyo polisi kunusuru uhai wake angeuawa na wananchi waliokuwa na hasira,’’ alisema shuhuda na kuongeza kuwa polisi waliokuwa doria waliondoka naye kwenda kituo cha polisi ili sheria ichukue mkondo wake.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >