Habari Kali
Loading...

VINARA WA ‘KUUZA MECHI’ MAMA TOFAUTI!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Watu wengi ambao wamejikuta wakipata watoto wengi kwa wanawake tofauti, wanatafsiriwa tofauti kwenye jamii. Wengine wanaonekana siyo makini katika suala la kujilinda kwa maana ya matumizi ya kinga kwa lugha ya watoto wa mjini hutumia msemo wa ‘kuuza mechi’ bila kujali umuhimu wa afya zao.
Staa wa Bongo fleva, Ali Kiba.
Kama hujaelewa, Kuuza mechi ni kushiriki tendo la ndoa bila kinga. Wakati mwingine hutokea kwa bahati mbaya lakini kama itatokea zaidi ya mara moja, lazima watu watakuwa na mtazamo tofauti na wewe, inaonesha ni jinsi gani ni kinara kwenye suala hilo la kuuza mechi.
Uchunguzi unaonesha kuwa kwenye ulimwengu wa mastaa Bongo, kuna wasanii lukuki ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki katika ishu hiyo na matokeo yake ni kuwa na watoto waliozaliwa nje ya ndoa.
Makala haya yanakuletea listi ya vidume mastaa wa Bongo ambao wana watoto waliozaa na wanawake tofauti;

Msanii wa Bongo Fleva, Dully Sykes.
ABDUL SYKES ‘DULLY’ (watoto watatu)
Huyu ni legendary wa Bongo Fleva ambaye hivi karibuni alifikisha miaka 15 katika muziki anaoufanya. Ana watoto watatu ambao anakiri kuzaa na wanawake tofauti ingawa majina ya mama zao huwa ni siri yake.

ALI SALEH KIBA (watoto watatu)
Kiba ni staa mkongwe mwenye mashabiki wengi anayekimbiza na mzigo mpya wa Chekecha Cheketua. Jamaa huyu anaingia katika orodha ya wauza mechi kwa kuwa anakiri kuwa na watoto watatu aliozaa na wanawake tofauti.

Q-Chillah akifikiria jambo wakati akihojiwa na Global TV Online.
ABOUBAKAR KATWILA ‘Q CHILLAH’ (watoto watatu)
Chillah kama ilivyo Dully naye ni legendary wa Bongo Fleva. Jamaa anakiri kuwa na watoto watatu, akiwa amewapata kwa wanawake tofauti ambao siyo mastaa kama alivyo yeye.

KHALEED MOHAMED ‘TID MNYAMA’ (watoto wawili)
Huyu ni mkali wa ngoma kibao kama Zeze, Nyota Yangu, Siku Kama Hizi, Kiuno na nyingine kibao ambazo ziliwahi kuwa nyimbo za taifa. Jamaa ana watoto wawili akiwa amezaa na wanawake tofauti. Mmoja alikuwa maarufu aliyejulikana kwa jina moja la Kinana.
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Khaleed Mohamed 'TID'.
EMMANUEL ELIBARIKI ‘NAY WA MITEGO’ (watoto watatu)
Jamaa anatikisa kwenye Bongo Fleva kwa sasa. Nay anaingia kwenye orodha hii akiwa na watoto watatu, mmoja alizaa na dada wa Kihindi (jina halifahamiki), akazaa na msanii wa Bongo Movies, Skyner Ally na mtoto wa mjini, Siwema Edson.

MACK SEKIMANGA ‘MAKAMUA’ (watoto wawili)
Jamaa ni mmoja wa wakali wa RnB Bongo aliyewahi kutamba na ngoma kama Tell Me Why na nyinginezo. Hakosi kwenye orodha hii kwa sababu ana watoto wawili ambapo kila mmoja ana mama yake.

KULWA KIKUMBA ‘DUDE’ (watoto saba)
Jamaa ‘bana’ ni tishio na  ndiye anaongoza kwa kuwa na watoto wengi kwa wasanii wa Bongo. Dude  ana watoto saba kwa wanawake wanne tofauti. Siku zote amekuwa muwazi kuhusu suala hilo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top