Habari Kali
Loading...

UKATILI..!! MAMA AMCHOMA MOTO MTOTO MIAKA 7

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Saimeni Mgalula, Mbeya
Ukatili kila kona! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la mama Joy amechezea kipigo ‘hevi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali akidaiwa kumchoma moto mikononi mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka saba ambaye jina halikupatikana kwa madai ya kumuibia shilingi elfu ishirini.

Mtoto huyo akiugulia maumivu baada ya kuchomwa moto na mamaa'ke.
Tukio hilo la kinyama ambalo ni sehemu ya matukio ya mateso kwa watoto yanayotokea kila kukicha maeneo mbalimbali nchini, lilijiri juzikati katika Mtaa wa Nello Kata ya Kaloleni wilayani Momba mkoani hapa majira ya saa 11:20 jioni.
Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya mashuhuda walisema kuwa mtoto huyo alikuwa akiishi katika mazingira magumu almaarufu kwa jina la chokoraa hivyo hana makazi maalum.
Walifunguka kuwa mara baada ya kuwa na maisha hayo, ilibidi mama Joy amuombe aishi naye ambapo mtoto huyo alikubali na kuacha kulala nje ya nyumba na udokozi kwa kuwa alikuwa anapata chakula.
Kwa mujibu wa mashuhuda hao, walisikia kelele za mtoto huyo akilia kwa sauti na walipotoka kumwangalia ndipo wakakuta ameungua mikono na alipoulizwa kulikoni alisema kuwa mama Joy ndiye aliyemchoma akimsingizia kuwa ameiba kiasi hicho cha fedha.
Walidai kwamba, baada ya kusikia hivyo, baadhi ya wananchi wenye hasira kali walianza kumbonda mama Joy huku wakimkokota kuelekea Kituo cha Polisi Tunduma ili sheria ichukue mkondo wake.
Hadi gazeti hili ‘linaanua matanga’ eneo la tukio mama huyo alikuwa ameshikiliwa polisi huku mtoto huyo akipelekwa hospitalini kwa matibabu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top