Habari Kali
Loading...

MREMBO ‘AMPIGA’ SIMU BOB JUNIOR

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Musa Mateja
Msichana mmoja mrembo ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja hivi karibuni alifanya kitendo cha aibu baada ya kunaswa akimchomolea simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.Tukio hilo la kushangaza lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa Bills Posta jijini Dar, ambapo Bob Junior alikuwa miongoni mwa wasanii waliokuwa wakipafomu.

Mrembo huyo akimpiga simu Mwanamuziki Raheem Rumy Nanji ‘Bob Junior’.
Awali, paparazi wetu alimuona mrembo huyo akipanda jukwaani na kuonekana kama aliyekuwa na lake jambo lakini alipofeli alishuka. Mara ya pili demu huyo alipanda tena, safari hii alifanikiwa kumkumbatia msanii huyo lakini katika hali ya kushangaza alionekana akihangaika kuzama mfukoni mwa Bob Junior na kuichomoa simu kiulainiii.
Tukio hilo liliwafanya watu waliokuwa wakimkodolea macho kupiga kelele za; Unaibiwa simuuu…unaibiwa simuuu…, kitendo kilichomfanya msichana huyo kuirudisha mfukoni simu hiyo fasta kisha kushuka.
Haikuweza kufahamika mara moja kama alikuwa akitania au alidhamiria kuiba kilongalonga hicho
 Baada ya tukio hilo mwandishi wetu alijaribu kuongea na Bob Junior ambapo alisema. “Mimi awali sikujua kama naibiwa lakini yale makelele ndiyo nikashituka, yaani yule demu bwana angeondoka na ile simu ingekuwa balaa.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top