Habari Kali
Loading...

MUME AMCHANA LIVE DAVINA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
KIMENUKA! Mume wa muigizaji nyota wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’, Abdallah Shakoor ambaye amekuwa kimya tangu kuenea kwa madai ya mkewe kutoka na staa mwenzake, Mike Sangu, hatimaye amefunguka kuhusu skendo hiyo na kudai anafuatilia kila hatua ya wawili hao na hivi karibuni atatoa msimamo wake.
Muigizaji nyota wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’.
Chanzo chetu makini kimeripoti kuwa wasiwasi wa mume huyo kwa mkewe ulianza muda mrefu uliopita, hasa baada ya staa huyo kusafiri kuelekea Iringa kwenye mazishi ya shangazi yake akiwa ameongozana na Mike, kitendo kilichomkera sana.
Inadaiwa kuwa kutokana na madai hayo kuandikwa magazetini mara kwa mara, yamesababisha familia ya mume kutaka kujua kinachoendelea baina ya wawili hao waliofunga ndoa yao Kiislamu.Gazeti hili lilipomtafuta mume wa staa huyo alisema anasikitishwa na kinachoendelea kwa kuwa alimpenda sana mkewe, lakini uvumilivu wake umefikia mwisho, hasa kufuatia kashfa zinazotajwa dhidi yake.
“Jamani hakuna mwanaume anayefurahia kashfa za mkewe gazetini, hainiletei picha nzuri kwenye familia, tena yenye maadili ya kidini kama yangu. Siwezi kushindana na Mike kama mke wangu haoni tatizo.“Mimi mwenyewe ni mtoto wa mjini sana, lakini sioni sababu ya kulumbana au kumfanyia kitu Mike, kwa nini nifanye hivyo kama Davina haoni tatizo?” alihoji.
Kuelekea Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, mume huyo alisema endapo Davina ataendelea na maisha aliyojichagulia, atalazimika kuoa mwanamke mwingine.Davina alipotafutwa alisema: “Kiukweli mimi bado nampenda mume wangu ila kama anaamua hivyo, sawa.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top