Habari Kali
Loading...

SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER! NYUMBANI KWAKE KWAJAA UREMBO WA FREEMASON

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’.

Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper.
Akizungumza na gazeti hili, ‘dada’ wa kazi wa Wolper ambaye kwa sasa ameacha kufanya kazi kwake huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema mbali na vitu hivyo, staa huyo anaishi kwa masharti makali kwani kila siku anaamka saa kumi alfajiri na wakati huo anamzuia dada huyo asiamke.
“Akiamka (Wolper) saa kumi hiyo alikuwa akinikataza nisiamke, sikuwahi kujua huwa anafanya kitu gani akiamka na kwa nini alikuwa akinikataza, ukweli maisha yake anaishi kwa masharti ya ajabuajabu nahisi ni Freemason,” alisema dada huyo.
Michoro inayodhaniwa kuwa niya kifrimason.
Dada huyo alitaja kuwa nyumbani kwa mwigizaji huyo, Mbezi Beach jijini Dar, kumesheheni mapambo kibao ya Kifreemason ambayo huyatunza na kuyalinda kama binadamu hali ambayo ilikuwa ikimpa wakati mgumu kwani hakuwahi kuona mambo kama hayo maishani mwake.
Dada huyo alitoa picha za vifaa vya ndani kama saa, picha za ukutani vyenye alama zinazodaiwa kuwa za Freemason pamoja na picha ya mwili wa Wolper ambayo imechorwa alama zinazodhaniwa kuwa ni za jamii hiyo ya siri.

Na huu ukiwemo.
Baada ya kupata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Wolper ambaye alijibu kwa kifupi;
“Ni kweli huwa naamka saa kumi lakini ni kwa ajili tu ya kufanya mazoezi, kuhusu hayo mengine napenda tu picha na vitu vyenye nembonembo sasa mimi sijui kama ndizo za Freemason.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top