Habari Kali
Loading...

WASANII WALIOJITOSA KWENYE SIASA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Joseph Haule ‘Prof. Jay’.
BRIGHTON MASALU HAMASA na mchecheto wa wasanii kujiingiza kwenye siasa, unazidi kukua kwa kasi huku baadhi yao wakionesha dhamira ya kweli kutaka kuwania nafasi mbalimbali hususan ubunge. Katika makala haya yanawaanika baadhi ya waliotangaza nia ya kuwania majimbo kupitia vyama mbalimbali.
Msanii wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’
STEVE NYERERE (KINONDONI)
Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ni msanii aliyejinyakulia umaarufu kwa kuigiza sauti ya Mwalimu Nyerere na hata viongozi wengine akiwemo Rais Kikwete. Hivi karibuni msanii huyo ameweka wazi nia yake ya kulinyakua jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa tayari kupambana na mwakilishi wa jimbo hilo kwa sasa kupitia chama hicho, Mhe. Idd Azzan.

KING MAJUTO (TANGA MJINI)
Jina lake siyo geni kwenye anga la sanaa kipengele cha uchekeshaji. Jina lake halisi anaitwa Amri Athumani. Amekwisha tangaza nia ya kuliwania Jimbo la Tanga Mjini kupitia CCM, huku akitajwa kuwa mwiba mkali kwa mbunge wa sasa kupitia chama hicho, Mhe. Omari Nundu.

AFANDE SELE (MOROGORO MJINI)
Awali, alitangaza kulitaka jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), lakini kwa sasa amebadili upepo na tayari ameonesha nia kulitaka Jimbo la Morogoro mjini kupitia chama kipya cha ACT-Wazalendo na kwamba kwa sasa ni kada aliye hai wa chama hicho, ingawa duru za siasa hazimuoneshi kuwa na upinzani mkubwa kwa mbunge wa sasa kupitia CCM, Mhe. Aziz Aboud.

JIMY MAFUFU (MBEYA MJINI)
Filamu za Uliyemchokoza Kaja na Ndondo ndizo zilimpa jina kubwa kwenye ulimwengu wa sanaa ya uigizaji, ingawa ni msanii wa muda mrefu! Amejipambanua kuwa kada hai wa CCM na kesho (Ijumaa) ataelekea Mbeya mjini tayari kupambana na mbunge wa sasa wa jimbo hilo kupitia Chadema, Mhe. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na kwamba amejiapiza kulitwaa.

PROF. JAY (MIKUMI)
Joseph Haule ‘Prof. Jay’ ndiye alikuwa wa kwanza kabisa kuonesha shauku ya kujitosa kwenye ulingo wa siasa na tayari alishatangaza nia ya kuliwania Jimbo la Mikumi huku akijivunia chimbuko la babu yake na kwamba amejiandaa kwa sera thabiti zitakazo mhakikishia ushindi kupitia Chadema dhidi ya mwakilishi wa jimbo hilo kwa sasa kupitia CCM, Mhe. Abdulsalaam Seleman Amer.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top