Mtalaka ambaye ni Raia wa Uingereza Amanda Rodgers ametoa kali ya mwaka baada ya Kufunga Ndoa na Mbwa wake kipenzi aliyempa Jina la Sheba baada ya kudai kuwa na mapenzi ya dhati na Mbwa wake huyo kwa muda mrefu sasa.
Amanda Rodgers ameolewa na Mbwa wake huyo (Sheba ) katika harusi iliyofana kwa namna ya kipekee huko Nchini Croatia katika hafla iliyohudhuriwa na watu takribanni 200.
Mtalaka huyo wa miaka 46 aliyekuwa amevalia kigauni chenye rangi nyeusi huku bwana harusi ambaye ni mbwa akiwa amevalia Shela Jeupe. Wapendanao hao walionekana kuwa na Nyuso za furaha huku Amanda Rodgers Akisisitiza kuwa Aliamua kufanya Uamuzi huo baada ya Kutengana na mumewe wa Ndoa miaka 20 iliyopita.
Amanda Rodgers Aliendelea kwa kusema:
“Mbwa huyu(Sheba) Nimekuwa nae Maishani kwa kipindi kirefu sana, yeye ndiye ambaye ananifanya nicheke, nifurahi na kunituliza pindi ninapojisikia vibaya”
Sheba na Amanda Rodgers walimaliza harusi yao na kurejea Nyumbani kuendelea na Maisha ya Unyumba.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >