Habari Kali
Loading...

HII NDIO KAULI YA ASKOFU MKUU WA KANISA LA METHODIST KWA RAIS KIKWETE, MSIKIE HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
ASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph BundalaASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalum la Katiba kwakuwa umekosekana mwafaka wa pande mbili zinazovutana.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa, Askofu Bundala, alisema kuendelea kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba ni kuzalisha maswali mengi yatakayowafanya wananchi kuwa na shaka na serikali.
“Ikumbukwe kuwa katiba siyo mali ya wanasiasa, katiba ni mali ya Watanzania wote na kwa manufaa ya vizazi vijavyo, hivyo hakuna sababu yoyote ya kutumia nguvu kuendelea na  vikao vya katiba…
“Kwa kuwa mwenye sauti ya mwisho katika katiba ni rais bora atangaze kulivunja…kama ni suala la fedha ziwe ni za ndani za wafadhili ni bora zikaelekezwa kwa matumizi mengine au kama hiyo haiwezekani kwa kuwa ni za wafadhili zirudishwe fedha zao kuliko kuendelea na jambo ambalo halina manufaa kwa Watanzania na badala yake wananufaika watu wachache,” alisema Askofu Bundala.
Aliongeza kuwa uwepo wa mvutano kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Umoja wa  Katiba ya Wananchi (UKAWA) uliofanya wajumbe wa UKAWA kugoma kurejea kwenye vikao hivyo, ni bora Bunge likavunjwa ukatafutwa mwafaka wa kweli.
Askofu Bundala alishauri kuwa ikishindikana kupata mwafaka, suala la katiba lirudishwe kwa wananchi watoe maoni yao kwa mara nyingine.
Alisema suala la mchakato wa katiba linahitaji uwepo wa nguvu ya Mungu wala siyo suala la kibinadamu na kuchukuliwa kama sehemu ya ushabiki, hivyo kuna kila sababu ya viongozi wa kiroho kufanya kazi kubwa ya kuliombea suala hilo.
“Hapa inatakiwa kuelewa kuwa katiba siyo lelemama, kunatakiwa maombi, hata hivyo suala la katiba linafanywa kama vile kinatungwa kitabu cha hadithi bila kujua katiba ya nchi ni roho ya nchi, kutokana na msuguano uliopo kwa sasa ni bora vikao vya katiba vikasitishwa huku wachaMungu wakifanya maombi ili Mungu aweze kuonyesha nia ya dhati ya upatikanaji wa katiba mpya…
“Wanasiasa wasiyumbishe nchi na mawazo ya wananchi yanatakiwa kuheshimiwa ili wananchi hao waweze kuwa na maamuzi yao kulingana na kile wanachokiamini kuwa kinaweza kuwa msaada mkubwa katika kuwaondoa katika hadha kubwa ambayo wanakutana nayo,” alieleza Askofu Bundala.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top