Habari Kali
Loading...

TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO BAADA YA KUPOKEA SIMU YENYE NUMBER ZA AJABU, ATOKWA NA DAMU PUANI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja.
Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ akiwa katika Hospitali ya Palestina.
Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo ambacho kilikuwa ndani ya Hospitali ya Palestina ambako Tunda Man alilazwa, kimeeleza kuwa, tukio hilo lilitokea mwanzoni mwa wiki hii wakati staa huyo akifuturu.
“Alipigiwa na namba f’lani hivi ya ajabuajabu inayoishia na 39 kama mara 30 hivi, hakuipokea maana alishawahi kusikia juu ya namba za ajabu lakini baadaye akaamua kupokea ndipo ghafla akaanguka, akaanza kutokwa damu puani kisha kuzimia kabisa,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Tulimfikisha Hosptali ya Palestina na hali yake ilikuwa mbaya sana lakini kwa jitihada za madaktari na manesi wamemsaidia kwa sasa kidogo anaendelea vizuri.”
Khalid Ramadhan ’Tunda Man’.
Baada ya kupata taarifa hiyo, Ijumaa lilimtafuta Tunda Man ili kutaka kujua undani wa sakata hilo, alipopatikana alifunguka:
“Nakumbuka nilipokea simu yenye namba nisizozifahamu ambayo iliita sana nikajishtukia kuipokea lakini baadaye nikahisi ni kama namba za nje ya nchi labda ni dili la kwenda kufanya shoo, nilivyopokea tu sikuwa nasikia mtu akiongea zaidi ya kusikia mtu kama vile anapuliza kitu.
“Baada ya hapo nikajiona naishiwa nguvu, damu zikinitoka puani na mdomoni kisha nikajikuta nipo Hospitali ya Palestina,” alisema Tunda Man.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top