Habari Kali
Loading...

KAULI YA DIAMOND PLATNUMZ KUHUSU "KUMSAIDIA" ALIKIBA ILI ATOKE TENA KIMZIKI YAWAKERA MASHABIKI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Msanii Diamond Platnumz amewakera mashabiki kutokana na kauli aliyoitoa wakati akizungumzia kufanya collabo na msanii mwenzie, Alikiba, na wasanii wengine. Diamond, akizungumza na Diamond 255 ya XXL ya Clouds Fm, alisema kuwa ana nia na kufanya collabo na Ali Kiba, na wasanii wengine Tanzania; kitu ambacho ni kizuri. Kilichowakera mashabiki hao ni jinsi alivyosema. Nukuhu:
Mimi sina tatizo, inategemea ni project gani inategemea ni muziki gani kwasababu nimeshawasaidia watu wengi nimefanya nao macollabo kwanini mtu anavyokuja nifanye nae collabo yeye nikatae, yaani siwezi kukataa.

Mwaka huu kwanza zitatoka nyimbo nyingi za macollabo ambayo wasanii wengi wa Nigeria nimewasaidia nimefanya nao nyimbo, wengi sana.
  

 Kcee nimefanya nae, nimefanya na Mafikizolo, nimefanya na yule Waje, nimefanya na Don Jazzy, nimefanya na Dr Sid, nimesaidia watu wengi sana. Kwahiyo kama naweza kufanya wa huko kwanini nisifanye na mtu wa nyumbani, nikishindwa kufanya na mtu wa nyumbani nitakuwa na roho mbaya, au nitakuwa sitaki kusaidia kwasababu namshukuru mwenyezi Mungu muziki wangu kidogo umefika hatua sio mbaya, so nikifanya na mtu wa nyumbani na yeye namfikisha katika hatua ambayo hajawahi kufika bado, so mi siwezi kumkatalia mtu yeyote
Hiyo kauli ya kwamba akifanya collabo na msanii yoyote wa Tanzania, atakua “anamsaidia” na “kumfikisha katika hatua ambayo hajawahi kufika bado” ndiyo iliyowakera baadhi ya watoa maoni hao.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top