Habari Kali
Loading...

Mama na mwanawe wachinjwa kikatili mkoani Shinyanga wakituhumiwa kuwa ni wachawi!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.
 
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 14 mwaka huu saa mbili usiku katika kijiji cha Ihugi, kata ya Lyamidati tarafa ya Nindo wilaya ya Shinyanga.
 
Akielezea zaidi kuhusu tukio hilo alisema siku hiyo, Dilu na mtoto wake Mihangwa, wote wakazi wa Ihugi wakiwa nyumbani kwao wakijiandaa kwa chakula cha usiku na wanafamilia wenzao walivamiwa na watu watatu wasiofahamika wakiwa na mapanga.
 
“Baada ya kuwavamia walianza kuwakata kwa panga sehemu mbalimbali za miili yao kisha kuwachinja shingo hadi wakapoteza maisha,” alisema Kamanda Kamugisha.
 
Alisema kuwa chanzo cha tukio hilo ni imani za kishirikina kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mwanamume aitwaye Bwanya Mlyashimba (40), mkazi wa Ihugi alikuwa akiwatuhumu Dilu na mwanawe Mihangwa kwamba walimroga yeye mwenyewe na kusababisha akose nguvu za kiume.
 
Alisema mbali na Mlyashimba kuwatuhumu kumroga, pia alikuwa anawatuhumu kumroga mama yake aitwaye Hollo Mahangwa aliyefariki dunia mwaka 2013.
 
Akasema Jeshi la Polisi linamshikilia mtuhumiwa huyo kwa mahojiano zaidi huku likiendelea kuwasaka wahusika wengine wa mauaji hayo.

via: mpekuzi

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top