Habari Kali
Loading...

RAIA WA KIGENI WAWILI WAKUTWA WAMEKUFA HOTELINI DAR

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >


WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.
 
Kwa mujibu wa taarifa za Jeshi la Polisi, raia wa Afrika ya Kusini, Roxxane Hillier (27), aliyekuwa Meneja wa Mgahawa uitwao Water Front katika Hoteli ya Slipway Masaki na rafiki yake wa kiume aitwaye Hylton William aliyekuwa fundi wa boti maeneo ya Slipway walikutwa wamekufa wakiwa katika chumba chao walichokuwa wamepanga katika Hoteli ya Slipway.
 
Inadaiwa kwamba Hillier hakuonekana kazini kwa muda wa siku mbili na mara ya mwisho kuonekana ilikuwa Oktoba 12 mwaka huu saa 4.00 ambapo Oktoba 13 alitakiwa kuwa mapumziko na alitakiwa kazini Oktoba 14 lakini hakuonekana.
 
Inasemekana juhudi za kumtafuta zilianza kufanyika ambapo simu zake za mkononi zilipopigwa ziliita bila majibu na ndipo ufuatiliaji ulifanyika hadi mahali alipokuwa akiishi ambapo alikutwa yeye pamoja na mwenzake wakiwa wamefariki dunia ndani ya chumba chao cha kulala huku miili yao ikiwa haina jeraha lolote.
 
Katika eneo la tukio kulikutwa madawa mbalimbali ya usingizi aina ya Dayaspem, dawa za hospitali, Panadol, vichungi vya sigara, sigara aina ya Cornel yenye unga unga unaodhaniwa ni dawa za kulevya, chupa ya maji aina ya Kilimanjaro yenye maji ndani yake, chupa ya bia aina ya Castlelite ikiwa nusu na unga unaodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya.
 
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, vifo hivyo huenda vimesababishwa na unywaji wa pombe kupita kiasi na matumizi ya dawa za kulevya. Miili ya marehemu imehifadhiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa uchunguzi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top