Habari Kali
Loading...

ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA SH. MILLIONI MBILI!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MWANAMUZIKI mkali wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amedaiwa tena kuhusika katika utapeli wa shilingi milioni mbili.
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando.
Muandaaji wa shoo hiyo, Ibrahim alidai kuwa Rose alitumiwa kiasi hicho cha pesa kama sehemu ya malipo ya kazi hiyo iliyokuwa ifanyike Jumapili iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Landmark uliopo Ubungo, jijini Dar lakini hakutokea.
“Huu ni utapeli wa hali ya juu, maana alipewa pesa yote ya shoo, cha kushangaza hakutoa taarifa yoyote ya dharura, simu akipigiwa hapokei na wala meseji hajibu,” alisema Ibrahim.
Rose alipopigiwa simu ili kujua madai hayo kama yana ukweli, simu yake iliita bila ya kupokelewa hivyo akatumiwa meseji ambayo nayo ilionesha kumfikia lakini hakujibu chochote.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, John Lisu.
Hivi karibuni, Rose alidaiwa kuingia mitini na shilingi milioni moja aliyopewa kama malipo ya kutumbuiza katika uzinduzi wa albamu ya mwimbaji wa nyimbo za Injili, John Lisu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top