Habari Kali
Loading...

UPDATES: Y-P wa TMK Wanaume Family...kuagwa TCC Changombe na kuzikwa Leo (Oct 22) katika makaburi ya Changombe

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >


Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili.

Akizungumza na mtandao huu jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family amesema mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mazishi yatakayofanyika kesho saa kumi jioni.
 
“Kwajinsi ratiba ilivyo msiba utakuwa nyumbani kwa baba yake, kwenye nyumba ya marehemu baba yake kwahiyo kesho tunatarajia tukiweza tumuage pale Chang’ombe na baada ya hapo tutazika kwenye makaburi ya Chang’ombe hapo karibu na maduka mawili,” amesema Fella.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top