Mwigizaji wa filamu mwenye vituko vya aina yake, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto moja, aliezaa na Mbunge wasasa wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameyasema hayo akiwa visiwani Zanzibar kwenye mapumziko mafupi.
Mwigizaji huyu ambae mara kadhaa amekuwa akijisifia kwa kuwa na FIGA
nzuri akidai hata baada ya kuzaa bado umbo na mvuto wake bado upo pale
pale amesema angekuwa na uwezo wa kipesa angezaa watoto wengi zaidi
kiasi cha kufikisha idadi ya wachezaji wa timu ya mpira kwa sababu kuwa
mama ni kitu kizuri sana kwake.
“Kuwa mama ni kazi poa sana- napenda sana yaani ningekua na uwezo wa kipesa ningezaa team ya mpira”, Alisema Faiza
Mbali na watu kuendelea kumshambulia kuhusu uvaaji wa nguo zake akiwa
na mtoto wake mwananamama huyu ameonekana ni mtu mwenye kufanya kile
anachokiamni na sio watu wanataka nini.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >