Watu saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Laurence Sesegwa (42) wakijeruhiwa.
Kaimu
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kigaga Daga alisema kuwa watu hao
walifikwa na mauti hayo kufuatia mvua kubwa zilizonyesha zikiambatana na
radi zilizoanza majira ya saa tano asubuhi zilizotokea katika kijiji
cha Nyachenda wilaya ya Kasulu mkoani.
Mbali
na Mwalimu Kibada aliyekufa hapo hapo, Mganga huyo Mkuu wa Wilaya
aliwataja wanafunzi kuwa ni pamoja na Mary Steven (11), Severine Mussa
(11) na Joseline Joseph (12).
Aliwataja wanafunzi wengine waliofariki kuwa ni Joyness Simon (14), Nehemia Kepha (14) na Robin Gabriel (14).
Alisema
kuwa hadi sasa wanafunzi wanne wanaendelea na matibabu katika Hospitali
ya Wilaya ya Kasulu ambao aliwataja kuwa Fadhila Emanuel (13), Matilda
Moses (11), Bizimana Manjo (12) huku wanafunzi wengine saba wakiruhusiwa
baada ya hali zao kuwa nzuri.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >