Habari Kali
Loading...

House Girl ( Binti wa Kazi ) Asababisha Kifo Baada ya Kufumaniwa na Bosi Wake Huko Arusha......Morani Wachoma Nyumba Kulipiza Kisasi

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Makundi ya vijana wanaosadikiwa kuwa ni wa jamii ya kimaasai maarufu kama “Morani” katika eneo la Olasiti Jijini Arusha, wameteketeza kwa moto mali mbalimbali zikiwemo nyumba pamoja na magari ya wakazi wawili wa eneo hilo, wanaotuhumiwa kumpiga na kumsababishia kifo kijana mmoja wa jamii hiyo.

Kijana Melita John anadaiwa kuuawa na Bernard Kavishe mkazi wa Olasiti akishirikiana na majirani zake wawili akimtuhumu kijana huyo kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msichana wake wa kazi za ndani ambaye ni binti wa miaka 17 anayefahamika kwa jina la Monica Emanuel.

Taarifa zaidi zinadai kuwa hatua ya morani wa kimaasai kujichukulia sheria mkononi na kuteketeza nyumba na magari pamoja na mali nyingine za watuhumiwa hao ni katika kulipiza kisasi kutokana na kifo cha mwenzao wanayedai hakuwa na hatia.

Inadaiwa mtuhumiwa wa kwanza wa mauaji hayo Benard Kavishe baada ya kuwasili nyumbani kwake majira ya saa saba mchana na kugonga gate la nyumbani kwake ilimchukua muda wa dakika kumi msichana wake wa kazi kufungua ndipo alipoingia ndani na kumkuta kijana Melita akiwa bila nguo ndipo alipowaita majirani wenzake na kumshambulia kwa kipigo hadi kumsababishia mauti

Jeshi la Polisi kupitia wa Kaimu kamanda wa Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Edward Balele akithibitisha tukio hilo amesema baada ya watuhumiwa wanaosadikiwa kushiriki katika mauaji ya kijana Melita wanashikiliwa kwa mahojiano zaidi..

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top