Habari Kali
Loading...

PICHA: BABA YAKE MKUDE (MCHEZAJI WA SIMBA) AZIKWA JIJINI DAR

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mkude akiwa ameshikilia msalaba wa baba yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar leo jioni.
Mkude akiweka shada la maua baada ya mazishi ya baba yake katika Makaburi ya Kinondoni, Dar.
Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ akiweka shada ya maua katika kaburi la mzee Gerald Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo wa Simba, Jonas Mkude, leo jijini Dar.
Kiungo wa Simba, Abdi Banda (wa pili kushoto) akiwa na waombolezaji wengine katika msiba wa mzee Gerald Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo mwenzake wa Simba, Jonas Mkude.
Kiungo wa Simba Jonas Mkude akiwa na majonzi wakati akisikiliza misa ya ibada katika msiba wa baba yake mzee Gerald Mkude, Konondoni jijini Dar.
Makamu wa Rais wa Simba, Kaburu akimfariji Jonas Mkude katika msiba wa baba yake, nyumbani kwao, Kinondoni Studio jijini Dar.
Viongozi wa Simba, kutoka kushoto: Frisch Colins, Kaburu na Ally Suru wakiwa katika Makaburi ya Kinondoni kufuatilia mazishi ya baba mzazi wa kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude.
MZEE Gerald Jonas Mkude ambaye ni baba mzazi wa kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude amezikwa leo Jumanne jioni katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar, baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo tangu Novemba mwaka jana.

Mzee huyo ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 46, alilazwa katika Hospitali ya Mwananyamala tangu Alhamisi ya wiki iliyopita kabla ya Jumapili kufariki akiwa katika hospitali hiyo ya Mkoa wa Kitabibu wa Kinondoni.
Bwana ametoa na bwana ametwaa na jina lihimidiwe, amina.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top