Habari Kali
Loading...

SAKATA LA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUJULIKANA IJUMAA HII

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
KUFUATIA serikali kushindwa kufuatilia na kutatua kero na matatizo yanayowasibu madereva wa magari na pikipiki hapa nchini, Muungano wa Vyama cha Madereva nchini umepanga kugoma kuingia barabarani kutoa huduma ya usafirishaji nchi nzima ili kuishinikiza serikali kusikiliza na kutatua kero zinazowasumbua kwa miaka mingi sasa.
Wakizungumza na vyombo vya habari kupitia Katibu wa Muungano wa Vyama vya Madereva, Bw. Rashid Saleh, madereva hao wamesema kuwa suala la kurudia kusoma kila wanapohuisha leseni zao ni aina nyingine ya unyanyasaji kwa maelfu ya madereva nchini, ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa hawana mfumo mzuri wa ajira licha ya kutupiwa lawama nyingi na serikali na wadau wengine wa usafiri kuwa wao ndio chanzo cha ongezeko la ajali hapa nchini.
Katibu huyo wa Muungano wa Vyama vya Madereva ameitaja kero nyingine kuwa ni hatua ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (National Institute of Transport NIT) kutamka hadharani kuwa vyeti walivyonavyo madereva hao sio halali na kwamba Ijumaa wiki hii wanakusudia kukutana na Waziri wa Kazi na Ajira kwa ajili ya kuzungumzia kero hizo kwa lengo la kuepusha kutokea kwa mgomo huo.
Bw. Saleh ametaja madereva wanaounda muungano huo kuwa ni wa bodaboda, bajaj, teksi, daladala, mabasi ya safari fupi, mabasi ya safari ndefu na za nje ya nchi pamoja na madereva wa magari yote ya mizigo.
Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa Muungano wa Madereva nchini, mkutano wa Ijumaa ndio utakaoamua iwapo madereva hao wagome au waendelee na kazi kwani wamechoka kudharauliwa hata kwa mambo ya msingi yanayogusa maisha yao.
Baadhi ya dharau alizozitaja ni pamoja na wamiliki wa mabasi (yaani waajiri wao) kuwaita wao ni wahuni ilhali ni watu wazima, wenye familia, wanaofanya kazi halali na wanaohitaji kuheshimiwa.
Jambo lingine lililozungumzwa na umoja huo ni kuhusu Mamlaka ya Usafirishaji wa Majiini na Nchi kavu SUMATRA kushindwa kutangaza viwango vipya vya nauli kama ilivyoagizwa.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top