Kyle Jones (31) akiwa na mpenzi wake, Karen, anasema huvutiwa tu na wanawake wanaomzidi umri kwa makumi kadhaa ya miaka.
Kyle akiwa kakolea katika hisia kali na mpenzi wake mzee zaidi aitwaye Marjorie McCool, mwenye umri wa miaka 91.
KYLE JONES wa
Pittsburgh, Pennysylvania, nchini Marekani, aliye na umri wa miaka 31,
ameelezea kuvutiwa kwake na wanawake ambao wanamzidi umri kwa makumi
kadhaa ya miaka. Kijana huyo ameweka wazi kwamba katika kipindi cha
miaka mitano iliyopita, hajafanya mawasiliano yoyote ya kimapenzi na
mwanamke aliye chini ya umri wa miaka 60.
Kyle ambaye alifichua
hayo jana kipindi maalum cha kituo cha televisheni cha TLC kiitwacho
‘My Strange Addiction’ (Tamaa Yangu ya Ajabu), alisema mpenzi wake mzee
zaidi wa kike ana umri wa miaka 91.
“Nawapenda wazee wa
kike kwa kila kitu. Napenda harufu yao, napenda kuwa karibu nao na
hisia zao,” alisema katika kipindi hicho kijana huyo ambaye alipokuwa na
umri wa miaka 18 alikuwa tayari amepata mpenzi wa kike aliyekuwa na
umri wa miaka 50.
Kyle alianza kuvutiwa
na wanawake wazee akingali shuleni ambapo mtu wa kwanza kumvutia
alikuwa ni mwalimu wake aliyekuwa na umri wa miaka 65 wakati huo.
“Nilimpenda kwa nywele zake nyeupe, umbo lake, na kila kitu,” anasema.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >