MUME wa ‘long time’ wa mwimbaji nyota wa kike wa muziki wa Taarab nchini, lsha Ramadhan ‘Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ ambaye hivi karibuni alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika nchini Afrika Kusini, amerejea nchini na kufanya dua ya kumshukuru Mungu kwa kumnusuru kifo katika tukio hilo.
Tevez aliwakusanya ndugu, jamaa na marafiki na kufanya dua hiyo, Ijumaa iliyopita nyumbani kwao Msamvu, Madawa jirani na Shule ya Msingi Msamvu ‘A’ ambapo alifanya kisomo hicho kilichoambatana na dua na chakula.
“Mungu amemnusuru na balaa lile,
amemkingia hivyo ameona ni vyema aandae dua ya kumshukuru,” alisikika
mmoja wa waalikwa.Baadhi ya mashehe na waumini wengine wa Kiislamu
waliohudhuria dua hiyo walimpongeza Tevez kwa kitendo hicho cha
kumkumbuka Mungu na kumshukuru kwa kumlinda na majanga yaliyomkuta.Watu waliohudhulia dua hiyo.
“Hili ni jambo jema sana alilofanya Tevez ambapo tunaelekezwa na
mitume wetu kwamba tumshukuru Mungu kwa kila jambo,” alisema mmoja wa
waumini wa dini ya Kiislamu.Kwa upande wake Tevez alisema amamshukuru
Mungu kwani amempigania sana uhai wake.
“Lilikuwa ni tukio kubwa kwangu,
sikutegemea kama ningenusurika, Mungu amenipigania sana nimeona bora
nijumuike na ndugu, jamaa na marafiki kumshukuru Mungu,” alisikika
Tevez.Januari mwaka huu, Tevez alitekwa na watu wasiojulikana katika mji
wa Durban nchini Afrika Kusini ambapo mwenyewe alibainisha kuwa
mwenyeji wake mjini humo alivujisha habari kuwa ana fedha ndipo
akavamiwa, akateswa na kuporwa fedha na simu zake mbili.Majeraha ya mgongoni aliyoyapata wakati akiwa Sauz.
Tevez aliwafungulia mashtaka vijana waliohusika na tukio hilo ambapo kesi inaendelea kuunguruma nchini humo.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >