Habari Kali
Loading...

Wanaume Wadaiwa Kuwa Chanzo cha Mmomonyoko wa Maadili

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

TATIZO la kuporomoka kwa maadili ndani ya jamii ni kutokana na wanaume wengi kushindwa kutimiza wajibu wao ndani ya familia na jamii.

 

Kauli hiyo ilitolewa juzi na Dk Chris Mauki, Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakati wa semina ya kinababa iliyofanyika katika Ukumbi wa Makane uliopo Mkuranga, Mkoa wa Pwani.

 

Dk Mauki alisema mmomonyoko wa maadili unaotokea katika jamii yetu unasababishwa na wanaume kushindwa kutimiza wajibu wao kama wazazi na kuwaachia wanawake majukumu yote ambayo mengine yalipaswa yatimizwe na wanaume.

 

“Mmomonyoko wa maadili katika jamii ni matokeo ya wanaume kutowajibika kama wazazi na badala yake majukumu yao wameyatelekeza kwa wanawake.

 

 “Wanawake wamekuwa na kazi nyingi kiasi kwamba wanazidiwa na hivyo kushindwa kudhibiti mwenendo wa maadili ya watoto wao ipasavyo,” alisema Dk Mauki.

 

Aliendelea kusema wanaume wengi wamekuwa na tabia ya kutelekeza familia zao na kutokomea pasipojulikana na kuwaachia wanawake mzigo mkubwa wa kutunza na kulea familia peke yao.

 

“Familia nyingi zinapokumbana na matatizo ambayo ni ya kawaida katika maisha ya binadamu kama maradhi, ulemavu au ugumu wa maisha, wanaume hushindwa kuwa wastahimilivu na hivyo huamua kutelekeza familia zao na kutokomea kusikojulikana,” alisema Dk Mauki.

 

Akirejea majukumu ya wanaume katika jamii, alisema wanaume ndio wasimamizi wa kila kitu katika familia, walezi, washauri, walinzi na watoaji wa mahitaji muhimu katika familia zao.

 

“Siku hizi wanawake wamekuwa ndio walezi wakubwa wa familia, kazi ambayo ilipaswa ifanywe na wanaume. Wanawake walipaswa kuwa walezi wa kisaikolojia na sio wahangaikaji wa kutafuta na kutunza familia, hii ilikuwa ni kazi ya wanaume,” alisema Dk Muki.

 

Akifungua semina hiyo, Mchungaji Debora Lusambi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kongowe, alisema kanisa liliamua kuandaa semina hiyo kwa wanaume kwani wanaume wameonekana kushindwa kutimiza wajibu wao ukilinganisha na wanawake.

 

“Kanisa limeona wanaume huingia kwenye ndoa bila ya kuwa na mafunzo yoyote ukilinganisha na wanawake ambao kabla ya ndoa hupata kufundwa maarufu kama ‘kitchen party’ na kumuaga binti yao ambayo hujulikana kama ‘send off’, vitu ambavyo huwasaidia kuwa walezi na wavumilivu katika ndoa zao. 

 

“Hivyo tumeona ili kupunguza kuporomoka kwa maadili, ni lazima wanaume nao wapate mafunzo, watambue wajibu wao katika familia na jamii kwa ujumla,” alisema Mchungaji Lusambi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top