Haya
mambo ya mapenzi yana uwanja mkubwa sana. Na kila mtu ana mapito yake
kwenye hili swala. Kufika kileleni kwa mwanamke imegundulika sio wote
wanafika kileleni, niwachache sana wanaofika japo ni wengi wanaosema
nimefika kileleni kwa kudanganya, waongo.
Unajua
kufika kileleni ni sifa katika maswala ya mapenzi na mwanaume
anajisikia special kama amemfikisha kileleni mwenza wake na mwanamke
anafurahi sana afikapo kileleni na kuona mwanaume amefurahia penzi lake
so atafanya kila jitihada kuhakikisha anamfurahisha Mwanaume ikiwemo
kujifanya analia eti anaumia japo wapo wanao umia kweli. Wanawake
wanajua wakifika kileleni mwanaume anafurahi sana. So ili kumfurahisha
mwanaume ataact kufika. Wajanja sana na wanatupenda jamani dah!!.
Hata
hivo kuna baadhi ya sabau zinazosababisha adanganye awe ajifanye kufika
kileleni. yaani unakuta mwanamke anajinyonganyonga, anapiga kelele,
anakukumbatia kwa nguvu kama mtu anayetaka kufikia mshindo kumbe ni
mbwembwe tu. Baadhi tu ya sababu chache ni:-
1.
Wanafanya hivo ili kumlidhisha mpenzi wake wa kiume ili ajisifie
kafanya kazi. anamtia moyo ili asijioni hawezi kitu. Kwana mwanamme
inatakiwa umfikishe mpenzio.
2.Mwanamke
anakua hayupo kwenye mood ya kufanya mapenzi so anaamua kujifanya
anamaliza ili usiendelee kumsumbua. So atajifanya kafika kileleni na
kukushukuru asante mpenzi wangu. yaani nmechoka hata siwezi kurudia
tena. so anajifanya kafika ili kumfanya mpenzi wake amalize
haraka/anamuongezea presha ya kumaliza.
3. Kama anaumia. Mwanamke kama anaumie atajifanya anafika kileleni ili kumuwahisha mpenzi wake kumaliza.
4.Akiwa
amekasirika. Mwanamke akiwa amekasirika hawezi kufanya mapenzi kabisa,
ndo maana wanashauri mfanye mapenzi miwa katika hali nzuri ya furaha.
Hata hivo mwanamke anaweza kufanya mapenzi ili asimuudhi mpenzi wake.
hata akifanya atajitahidi anahakikisha mwanamme unamaliza haraka kwa
kukupa presha kana kwamba anafiaka kileleni.
5.Kukosa
mbinu za mapenzi. Unapokua kwenye uwanja wa mapenzi au sita kwa sita
wenyewe wanavoita, mwanamke ndie kocha. mwanamme cha kufanya ni
kumsikiliza na kuchokua hints. Akikuambia nenda haraka haraka basi
fanya, akikuambia punguza supidi fanya hivo, akikuambia tufanye hivi
msikilize kwa makini vinginevo utamuudhi. Na ukishamuudhi ili akuage kwa
uzuri atakuambia namaliza. akishamaliza mchezo umeisha.
6.Kuchoka.
Mwanamke akiona mwanamme kachoka na bado anaforce basi atajifanya
anamaliza ili kukufanya upumzike coz anajua akikuambia pumzika
utajisikia vibaya ataonesha dalili za kufika kileleni. na wewe utaamini
kweli kumbe wapi. hawa viumbe wajanja sana.
7.Sio
wote wanaofikishwa kieleleni na uume hata ukeshe. So ni vizuri kumjua
mpenzi wako. Kuna wanaofika kileleni just kwa kuchezewa sehemu zao,
kunyonywa, kupapaswa n.k.
Zipo sababu kibao zinazo sababisha japo kwa leo nimewaelezea hizi chache. Japo nyingine ni za kiwizi wizi.
Ushauri
wangu. Mwanmke na mwanaume ni vizuri kuwa muwazi kwa mpenzi wako. Sema
kile unachotaka kufanyiwa. huna haja ya kufake. Wiki ijayo nikipata
nafasi ntawaelezea mikao mizuri ya kufanya mapenzi ambayo itawanya kila
mmoja afurahie na kufika Kileleni bila tabu.
Asante sana.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >