Habari Kali
Loading...

ODAMA ATAKA WENZAKE WAJITUME

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
STAA ambaye ni mtafutaji anayemiliki Kampuni ya J-Son Film, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amewataka mastaa wenzake wa kike kujituma kufanya kazi, kwani ndiyo siri pekee ya kuwaepuka wanaume wakware wanaotumia fedha kuwarubuni kirahisi.
Staa ambaye ni mtafutaji anayemiliki Kampuni ya J-Son Film, Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Akipiga stori na gazeti hili, Odama alisema wanaume wakware wakiona staa wa kike anapiga mzigo, wanaogopa hata kumsogelea wakijua wazi watashindwa kwani mara nyingi hutumia fedha kuwarubuni, hivyo wakiona mtu anatafuta pesa kwa jasho lake wanakaa naye mbali.
“Mastaa wa kike wanaojituma wanaogopwa na wakware na nimejifunza kwamba mtu ukijituma heshima huwa kubwa, hata wanaume wanaodhani ukiwa na pesa unamnasa staa yeyote unayemtaka kirahisi, wananywea, wanashindwa kueleza utumbo wao, kwa hiyo nawasihi mastaa wenzangu waamke ili wanaume wasitufanye daraja lao,” alisema Odama.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top