Habari Kali
Loading...

VITUKO BABY SHOWER YA AUNT EZEKIEL! TAZAMA PICHA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
VITUKO kibao vilitawala juzikati kwenye sherehe ya ujio wa mtoto wa staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel  (Baby Shower), baada ya mastaa na waalikwa kibao kuonekana kufanya vituko vya hapa na pale.
Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akikata keki.
Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Mei 10, mwaka huu katika Viwanja vya Ndoto Polepole, huko Bagamoyo mkoani Pwani, ambako waalikwa walipata fursa ya kula, kucheza na baadaye kutoa zawadi kwa ajili ya mtoto atakayezaliwa.
Aunt Ezekiel alimtambulisha mpenzi wake, Moze Iyobo kwa kumlisha keki kabla ya kumwagiana mabusu na kunyonyana ndimi hadharani.

Akimlisha keki mpenzi wake Moze Iyobo.
Licha ya tukio hilo, pia waalikwa walicheza vyema muziki kwa shangwe na furaha huku wakizungusha nyonga kwa ustadi wa aina yake.Waalikwa waliokuwa wamevalia sare za aina mbili, walikuwa burudani ya aina yake huku karibu wote, wakienda kulibusu tumbo la Aunt ambalo sasa limekuwa kubwa kiasi cha kuonekana kuwa ni mtu wa kujifungua leo au kesho.

Akiwa na mashost zake.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Aunt alisema anashukuru marafiki na ndugu zake kwa kuwezesha shughuli hiyo kufanyika, kwani awali aliamua aifanye baada ya mtoto wake kuzaliwa.“Nimefurahi sana maana watu wamejitolea kwa hali na mali na kubwa zaidi ni hii sehemu ambayo tumefanyia sherehe, kiukweli ni mbali sana hivyo inanifanya kuamini kila aliyeweza kuja huku ana mapenzi ya dhati na mimi,” alisema Aunt.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top