Habari Kali
Loading...

SHAMSA FORD NAYE AMSALITI NAY! ANASWA NA MWANAUME MWINGINE WAKIWA WAMESHIKANA KIMAHABA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Brighton masalu
USALITI? Huenda maumivu ya mapenzi yakazidi kumuandama msanii wa muziki Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya gazeti hili kunasa picha za mchumba’ke Shamsa Ford akiwa katika mahaba mazito na msanii mwanaume mwingine aliyedaiwa kuwa ni mchepuko wake, Rammy Galis, Amani lilifuatilia hatua kwa hatua.

Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford akipozi kimahaba na Rammy Galis.
Ishu hiyo ‘ilidakwa’ na ‘balozi’ wa gazeti hili  usiku wa Jumapili iliyopita ndani ya Ukumbi wa New Maisha, Masaki jijini Dar kulipokuwa na onesho la Mrs. Mabeste Charity hafla iliyokusanya mastaa kibao na watoto wengi wa mjini.
Katika pitapita zake huku akikodoa macho kila kona ndani ya ukumbi huo, mwandishi wetu alibahatika kuwaona wawili hao wakiwa wamegandana kwa staili ambayo si ya kujadili katiba mpya huku ukaribu na kutazamana kwao kukiwa na maswali mengi kuliko majibu.

...Wakisakata rumba.
Hata hivyo, umbali wa mkao wao ulianza kupungua kila dakika moja ilipopita wakawa wanabadili mapozi yakiwemo kutazamana kimahaba na kushikana kwa kujitawala.
Baada ya kuhakikisha kuwa amepata picha za ushahidi wa kutosha, mwandishi wetu aliwafuata wawili hao na kumuuliza Shamsa kama huyo ndiye mbadala wa Nay, akamwambia mwandishi kuwa haikuwa kazi yake kujua kwani pale walikuwa eneo la starehe hivyo hawakutaka bughudha na karaha yoyote.
Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford.
“Ebwana ee, mbona hivyo jamani? Siyo kazi yako kujua huyu ni nani kwangu, ni msanii mwenzangu na hapa tuko kwenye sherehe na hatuhitaji usumbufu wowote,” alisema kwa mkato Shamsa.
Kwa upande wake Galis, alisema hana cha kusema kwani hakuwa eneo la mahojiano.
“Kaka huyu ni msanii mwenzangu na hapa si sehemu ya mahojiano,” alijibu.
Nay alipopigiwa simu alisema: “Hawa wanawake wa Bongo Muvi utawaweza! Ila nitadili naye.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top