POLISI mkoani Katavi inawashikilia ndugu wawili wakituhumiwa kumuua baba yao mzazi, Sado Shija (45) kwa kumcharanga kwa mapanga, wakigombea mahari iliyotolewa kwa dada yao alipokuwa akiolewa.
Imeelezwa
kuwa wanandugu hao, Shinje Italam (25) na Shile Italam (20) walikuwa na
ugomvi na baba yao huyo, wakigombea ng’ombe 20 zikiwa ni mahari
iliyotolewa wakati alipoolewa dada yao.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kamishina Msaidizi wa Polisi, Dhahiri
Kidavashari amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea juzi saa
mbili na nusu usiku katika kijiji cha Sibwesa, Kata ya Sibwesa, Tarafa
ya Mwese wilayani Mpanda, nyumbani kwa marehemu.
Alieleza
kuwa watuhumiwa hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote
baada ya uchunguzi wa awali wa shauri lao kukamilika.
Kwa
mujibu wa Kidavashari, watuhumiwa hao na mwingine wa tatu ambaye bado
anasakwa na Jeshi la Polisi mkoani humo, wanadaiwa kumuua baba yao huyo
huku wadogo zao wawili mmoja wa miaka 10 na mdogo wake, wakishuhudia
unyama huo.
Akisimulia
mkasa huo, Kamanda Kidavashari anadai kuwa usiku huo wa tukio, marehemu
alikuwa amekaa nje ya nyumba yake baada ya kula chakula cha usiku na
watoto wake Mbuke na Ikollo, ghafla alivamiwa na watu watatu miongoni
mwao wakiwa wanawe wawili.
“Watu
hao watatu walikuwa na tochi na mapanga walibisha hodi nyumbani kwa
marehemu na kumshambulia kwa mapanga huku watoto wake wadogo wawili
wakishuhudia baba yao akiuawa kikatili,” alieleza Kamanda Kidavashari.
via: mpekuzi
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >