Habari Kali
Loading...

POLISI WAMPIGA MWANAMKE RISASI YA KICHWA NA KUMUUA HUKO SINGIDA...WASEMA NI BAHATI MBAYA!! Soma zaidi hapa

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Iglansoni, ameuawa kwa kupigwa risasi kichwani kwa bahati mbaya na askari polisi waliokuwa katika jitihada za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi.

Aliyeuawa ni Joyce Maragabu (65), ambaye anadaiwa kupigwa risasi na askari hao waliokuwa wakijihami na kundi la watu waliotaka kuwavamia ili wasimkamate mhalifu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela, alisema askari hao walikuwa wanataka kumkamata, Nkida Gwisu, anayetuhumiwa kumshambulia mtu mwingine, lakini kwa bahati mbaya risasi hiyo ikampiga kichwani mwanamke huyo aliyekuwa anafua nguo nyumbani kwake.

Kamwela alisema, tukio hilo lilitokea juzi Oktoba 16, saa 6 mchana.

Alisema askari polisi wawili ambao hakuwataja majina yao wa kituo kidogo cha polisi Ihanja, walifika katika kitongoji hicho ili kutoa ulinzi mnadani, lakini baadaye walipewa taarifa kuhusu mtuhumiwa huyo kumshambulia mmoja wa wanakijiji.

Alisema wakati wakiwa katika jitihada ya kumtafuta mhalifu huyo, alitokea mwananchi mmoja aliyedai kumfahamu mtuhumiwa huyo, hali iliyorahisisha kazi ya kumkamata na kumweka chini ya ulinzi.

Hata hivyo, alisema baadaye mtuhumiwa huyo alianza vurugu, hali iliyosababisha kundi kubwa la watu kwenda eneo hilo wakiwa na silaha za jadi ikiwamo mawe, pinde, mishale, fimbo na mapanga, na kuanza kumshambulia mmoja wa askari polisi aliyemshikilia mhalifu huyo.

Alisema kuwa katika hali ya kutaka kumwokoa mwenzake, askari aliyekuwa na bunduki alifyatua risasi moja ya moto hewani, lakini hata hivyo wakiwa kwenye purukushani, ndipo risasi moja ilifyatuka na kumpiga kichwani mwanamke huyo.

Kamwela alisema baada ya tukio hilo, wananchi waliokuwa na hasira waliichoma moto pikipiki ya askari hao, yenye namba za usajili PT 3242 –Yamaha na kuiteketeza.

Alisema kutokana na vurugu hizo, askari hao walijeruhiwa vibaya baada ya kupigwa na kundi hilo na tayari jeshi hilo linawashikilia askari hao kwa mahojiano zaidi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top