Msichana mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na polisi baada ya akituhumiwa kumuua muwe wake kwa kumwangi maji ya moto.Mwanamke huyo alifanya hivyo kama kulipiza kisasi kwa mumewe huyo aliyempiga na hadi kupoteza fahamu.
Msichana anatambulika kama Aisha Jibrin analipotiwa kumuua mume wake kwa kile kinachodaiwa mume wake huyo kwasasa ni marehemu alimpiga baada ya kumpa taarifa ya kuwa ana mimba kitendo ambacho mwanaume hakupenda mke wake awe na mimba bila taarifa yake kitendo hicho kilisababisha mwanamke huyo mimba yake kuhalibika .
Mwanaume huyo alifariki hospitali baada ya kupelekwa kwa ajili ya matibabu.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea tarehe 8 Oktoba katika makazi ya wanandoa hao katika eneo la Jahun Bauchi nchini Nigeria.
Ndugu wa marehemu, Nasiru Mohammed alitoa taarifa juu ya tukio hilo kwa polisi.
Aisha Jibrin ameshtakiwa kwa mauaji. Kesi yake itasikiliza Oktoba 28. huku yeye mwenyewe akiwa mahabusu akisubilia kesi yake kusomwa tarehe hiyo.
Msichana anatambulika kama Aisha Jibrin analipotiwa kumuua mume wake kwa kile kinachodaiwa mume wake huyo kwasasa ni marehemu alimpiga baada ya kumpa taarifa ya kuwa ana mimba kitendo ambacho mwanaume hakupenda mke wake awe na mimba bila taarifa yake kitendo hicho kilisababisha mwanamke huyo mimba yake kuhalibika .
Mwanaume huyo alifariki hospitali baada ya kupelekwa kwa ajili ya matibabu.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea tarehe 8 Oktoba katika makazi ya wanandoa hao katika eneo la Jahun Bauchi nchini Nigeria.
Ndugu wa marehemu, Nasiru Mohammed alitoa taarifa juu ya tukio hilo kwa polisi.
Aisha Jibrin ameshtakiwa kwa mauaji. Kesi yake itasikiliza Oktoba 28. huku yeye mwenyewe akiwa mahabusu akisubilia kesi yake kusomwa tarehe hiyo.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >