Msaniii
wa Bongo fleva Nuh Mziwanda ambae ni mpenzi wa wa msanii Shilole
amefunguka na kusema hakuna binadamu wa kuweza kuwatenganisha katika
mapenzi yao licha ya manneo ya watu kuzungumza vibaya kuhusu mpenzi wake
huyo ambae amekuwa akimpiga mara kwa mara.
Mziwanda
alisema kuwa ni Mungu tu ndiyo anaweza kuwatenganisha na kama ni kipigo
basi yeye amezoea maana hakuna mapenzi ya kweli bila kupigwa na kama
hupigwi basi mpenzi wako hana wivu na wewe.
"Mungu
ndio ataitenganisha hii couple.binadamu neeeeeeeeeeeever. Sawa
ananibonda kila siku ila ndio tumependana wenyewe na kupigwa kuna raha
yake jamani .Ukiona haupigwi ujue hakuna wivu hapo na mimi najua
napompigia"
Lakini
mbali na kupokea na kukubali hali ya maneno ya watu katika mitandao ya
jamiii pia Nuh ameonyesha kutopenda kitendo hicho ambacho kimeonekana
kurudiwa kama kiitikio cha wimbo mzuri
"Maana
naona mmezidi sasa kila saa kipigo kipigo.Nisharidhika mimi bwege fala
mjinga semeni yoooote ila ndo nishampenda na simuachi ng'o.Bora mfanye
yenu tu na nawapenda saaaaaaana wanaofatilia mziki wangu"
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >