Waswahili wanasema ahadi ni deni.. akina
dada ambao wanafanya biashara ya kuuza miili yao Nigeria nao wanaahidi
kutimiza ahadi yao ya kutoa huduma bure kwa wateja wao nchi nzima.
Chama cha wasichana hao ambao wanafanya
biashara hiyo Nigeria waliahidi kwamba wako tayari kutoa huduma bure kwa
mtu yoyote iwapo Rais Buhari atashinda Uchaguzi huo.. Kwa kuwa tayari Buhari
kashinda wamesema watatoa huduma hiyo kwa siku tatu bure iwapo Rais
huyo ataruhusu biashara hiyo kuwa halali kabisa kama ilivyo biashara
nyingine.
Chama hicho ambacho kinaitwa NANP
kimesema iwapo biashara hiyo ikihalalishwa itasaidia waweze kufanya
biashara yao kwenye mazingira ya usalama zaidi hata wa afya zao.. NANP
walikuwa na imani kwamba Rais Buhari ataruhusu biashara hiyo japo mpaka sasa hajatoa taarifa yoyote.
Iliwahi kusikika pia kutoka Kenya ambapo
wanawake wanaofanya biashara hiyo waliandamana mpaka kwa Mwanasheria
Mkuu kutaka biashara yao ihalalishwe, watambulike na walipe kodi kama
wafanyabiashara wengine tu.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >